Psalms 69:7-9


7 aKwa maana nimestahimili dharau kwa ajili yako,
aibu imefunika uso wangu.

8 bNimekuwa mgeni kwa ndugu zangu,
mgeni kwa wana wa mama yangu mwenyewe.

9 cKwa kuwa wivu wa nyumba yako unanila,
matukano ya wale wanaokutukana yameniangukia.
Copyright information for SwhKC